kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Monday 29 April 2013

Mbunge wa jimbo la Arusha Mhe Godbless Lema aachiwa kwa dhamana...


Mbunge wa jimbo la Arusha Mh. Godbless Lema amepandishwa kizimbani katika mahakama kuu kanda ya Arusha na kusomewa shitaka la uchochezi uliosababisha vurugu katika chuo cha uhasibu cha Arusha uliopelekea chuo hicho kufungwa kwa muda usiojulikana .

PICHA MBALIMBALI ZA MATUKIO YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, Mh. Benard Membe leo 29.04.2013 na wanafunzi wa vyuo vya Iringa.



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Benard Membe     leo  29.04.2013,katika  ukumbi  wa St.Dominic mjini Iringa,akieleza juu ya mada ya “MAADILI YA UONGOZI KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU|”,wanafunzi mbalimbali kutoka vyuo vya mjini Iringa (Ruaha university collage,Tumaini university na Mkwawa university) waliudhuria kongamano hilo. –habari na simon bango

 Baadhi ya  wachangiaji  wa mada katika  kongamano  hilo la  wanavyuo  Iringa  wakiwa katika  picha ya pamoja na waziri Membe
.
....

LORD EYES FEAT BEN POL -NO MORE DRAMA (BABA LA BABA)

tanzania best rappers toka kitambo



         fid q

        joh makin
 
g nako

     chid benz

      pro. jay
 
     lord eyez

NAKAAYA ft. Dunga - UTUUZIMA DAWA

wiz khalifa akiwa na mtoto wake

.

New song:Snura - Majanga

Diamond new song MAPENZI GANI,ngoma inayosemekana sio official release kutoka kwa diamond mwenyewe


new song from Recho: Mwali Kigego

new song:young killer ft stamina,quick racka

Barclays Premier League:matokeo ya jana tar 28.4.2013

ReadingvsQPR0-0











ChelseavsSwansea2-0


Arsenalvs Man Utd1-1

Sunday 28 April 2013

SONGA SOON KUTOKA NA ILLMATHEMATIX


 Msanii wa hiphop Songa yuko mbioni kuachia pini jipya "Illmathematix" akiwa kamshirikisha Identity na One the incredible.Juma tano ijayo baada ya mapumziko ya hollyday ndefu kidogo Songa atai bless for the first time kwa radio stations kwa ajili ya kufurahisha na kufundisha akili yako. @pIN coDe

OMMY DIMPOZ AONGOZA KINYANG'ANYIRO TUZO ZA KILI 2013


Katika majina ya wasanii waliotajwa leo hii kuwania tuzo za Kili 2013, Ommy Dimpoz ameonekana kuongoza kwa kuchaguliwa katika categories 6, akifatiwa na Ben Pol ambae amechaguliwa katika sehem 5 tofauti, Mwasiti 4 na Kala Jeremiah 4.
Mwaka huu pia mabadiliko yameonekana pale walipoamua kuongeza categories kutoka 24 zilizokuwepo mwaka jana, mpaka kufikia 37 mwaka huu .








Jana na Leo Young Killa feat stamina na quick racka

BONGE YA JOINT: JANA NA LEO / YOUNG KILLER FEAT STAMINA NA QUICK RACKA


 Ikiwa bado ngoma yake "Dear Gambe" bado inafanya vizuri kaika chati mbali mbali, leo hii Young Killer, msanii anae wakilisha Mwanza, amedondosha boooonge moja la pini ikiwa ni kolabo na Stamina na Quick Racka akiwa ameshikilia chorus, mkono wa producer D classic na Mona Gangsta.

Fally Ipupa - Hustler is Back(NEW OFFICIAL VIDEO 2013)

HII HAPA NGOMA MPYA YA D BANJ NA KANYE WEST

Baada ya matokeo ya jana huu hapa msimamo mpya: BARCLAYS PREMIER LEAGUE

.

Barclays Premier League: ratiba ya leo Jumapili 28.04.2013

ReadingvsQPRMadejski Stadium15:30pm










ChelseavsSwanseaStamford Bridge16:00pm

ArsenalvMan UtdEmirates Stadium17:00pm                                        




Wednesday 24 April 2013

TUNDA MAN MSANII WA BONGO FLAVOUR KATIKA MWONEKANO MPWA WA NYWELE:




Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection maarufu kama Tunda Man ameonekana kubadili muonekano wake wa zamani na sasa kuja na mpya ....
Muonekano huo mpya wa style ya nywele zake [pichani] umeonekana kuwashangaza watu kwa jinsi ulivyokuwa wa kipekee ...
Haijafahamika ameutoa wapi na ni kwa ajili gani anautumia, ila hivi ndivyo anavyoonekana sasa Tunda Man kichwani kwake .

@pincode









Tuesday 23 April 2013

AVRIL KUZINDUA SINGLE YAKE NA OMMY DIMPOZ TAREHE 30 APRIL


Siku ya mkesha wa kuamkia sikukuu ya wafanyakazi "mei mosi", Msanii kutoka Kenya Avril anatarajia kuzindua single yake aliyomshirikisha Ommy Dimpoz huku perfomace za wasanii kutoka Kenya na Bongo zikitawala