kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Friday 19 July 2013

NEW VIDEO IZZO B FT BARNABA & SHAA - LOVE ME

NEW VIDEO:SHETTA FT RICH MAVOCO-SINA IMANI

KWA WANAFUNZI WA ICT (RUCO) AMBAO WAKO FIELD(SEM II& SEM IV)WANAWEZW KUJAZA HAPA TAARIFA ZAO

maincampus 
Dear Students,

For the sake of easy communication and better handling of PT which is to commence next month, your details are needed. The main information needed is your name, program of study, phone number and email address. The phone number will be used by university supervisors to reach you when the supervision time comes. The emails are needed for creating a special group email to enable easy communication between the coordinators and you (students).

Therefore, you are required to provide those details to us as soon as possible. It would be better if this is done before going for the holiday.


CLICK HERE TO ENTER THOSE DETAILS!

Mwanafunzi wa Darasa la tatu auawa kikatili.




Mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi Kizega wilayani Iramba Bi. Mariamu Alphonce mwenye umri wa miaka kumi ameuwawa kikatili kwa kukatwa shingo na kucharangwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na kaka yake bwana Elibariki  Alphonce.
 
Akieleza kwa uchungu baba wa mtoto huyo bwana Alphonce Msengi amesema alipofika nyumbani kwake majira ya saa kumi na moja jioni alikuta damu nyingi na alipo angali vizuri alimuona mtoto wake Mariamu Alphonce akiwa amekatwakatwa kwa mapanga na tayari alikuwa ameshafariki.
 
Bwana Msengi baada ya kuona hivyo alipiga yowe na walikuja majirani na watoto na wakamwambia tumemuona mtoto wako Elibariki akiwa na mapanga mawili akikimbia huku akiwa hana nguo. Wakieleza mwenyekiti wa kitongoji Bi Vailet Mbigu na mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kizega bwana Elisante Gyuzi wamesema pamoja na shule kuandaa taratibu zote za mashishi , kijana aliyefanya unyana huo huwa anavuta bangi na mara nyingi alikuwa akisikika kumtishia kumuuwa baba yake kwa kumkata kwa panga.
 
Kwa upande wake  kaimu mganga mkuu wa hospitali ya wilaya ya Iramba daktari Timoth Sumbe amesema wamempokea Mariamu Alphonce akiwa ameshafariki huku mwili wake ukiwa na majeraha ya kukatwakatwa sehemu ya shingoni,kichwani.
 
Akiongea kwa simu kamanda wa jeshi lapolisi mkoani Singida bwana Godfrey Kamwela amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo na jeshi lake lina endelea kumsaka mtuhumiwa bwana Elibariki Alphonce ambayealitoweka baada ya mauaji ili aweze kufikishwa mahakamani. 
 

SIKILIZA TEASER YA WIMBO MPYA WA LINEX-KIMUGINA

Monday 15 July 2013

PICHA ZA WASANII WALIJITOKEZA KUMFARIJI PROF JAY KATIKA MAZISHI YA MAMA YAKE

Msanii AY akimpa pole  Prof Jay kwa kufiwa na Mama yake.
Nature akimpa mkono Jay
Jose Mara akimpa pole Jay .

CHAMELEON ALIVYOACHA HISTORIA CALIFORNIA KWA MIONDOKO YAKE



    Hapa mwanamuziki huyo kutoka UGANDA akiimba hit song yake "VALU VALU" wimbo ambao ulimpatia tuzo za Kilimanjaro nchini tanzania kama Wimbo bora wa mwaka 2013

Sunday 7 July 2013

Alpha Rwirangira Feat. LaMyia Good -HEAVEN- Official video

T.I.D EXCLUSIVE INTERVIEW NA SPORAH

NEW HINT:KASSIM MGANGA(TAJIRI)-I LOVE YOU SIKILIZA & DOWNLOAD HAPA

Why Is The American Flag Red, White and Blue?

Flag of the United States.svg
Every Memorial Day and July 4th millions of Americans get into the celebratory spirit, decking our homes and even ourselves in red, white, and blue. But why these particular colors and not say, green, yellow and blue?
When the Continental Congress adopted the American flag in 1777, to celebrate our country’s independence and unity, the specific meaning behind the choice of red, white and blue wasn’t revealed. It was only when, five years later in June 1782 when the seal for the USA was introduced that the significance of the colors on its flag was discussed.
Introducing the seal, Charles Thompson, who was Secretary of the Continental Congress at the time, told his assembled audience:
White signifies purity and innocence, Red, hardiness & valour, and Blue, the color of the Chief, and the placement of the broad band signifies, vigilance, perseverance & justice.
The stripes on the flag were to represent the 13 states and thirteen white stars in a blue field representing a new constellation symbolized their union.
Our founding fathers recognized the ability of color to communicate meaning, but whether Americans today know the specific significance of the flag colors is not as important as the power of these colors to evoke our patriotic spirit and unify us as a country.

Tuesday 2 July 2013

PICHA:TUZO ZA BILLBOARD AWARDS (BBMA) 2013 ZILIVYOFAANA JIJINI LAS VEGAS...!!

Jana Usiku wa Tarehe 1/7/2013 ulikuwa usiku wa  Tuzo
za Billboard Music Award,Tuzo hizi
ni Maalumu kabisa kwa wanamuziki wanaofanya vizuri na
 nyimbo zao zinazosikilizwa zaidi
kwenye vituo mbalimbali vya redio,television na dunia kwa
kwa ujumla  na Online ni kimaanisha Youtube,Itune na n.k kwa Ujumla......


Usiku wa Jana ndio ilikuwa sherehe ya ugawaji wa tuzo hizo
 uliofanyika kwenye jiji la Las Vegas
uku ikiudhuriwa na Mastaa wengi wanaofanya mziki ndani
 ya marekani na nje ya marekani...
Usiku huo unaweza kujionea kwenye picha jinsi
ulivyofaana kabisa kila mtu akiwa kwenye nyuso za furaha
wakati wa kupokea tuzo na hata wakati wa utumbuizaji

Zifuatazo ni picha za ugawaji tuzo na matukio mbalimbali ya
 utumbuizaji kutoka kwa wasanii
walioalikwa kutumbuiza kwenye usiku huo wa Billboards Award
2013 (BBMA)......



Selena Gomez & Taylor Swift...!!
Akon akitumbuiza kwenye usiku wa Tuzo za Billboard...!!
Nicki Minaj & Lil wayne wakitumbuiza pamoja...!!

Madonna akizungumza kwenye steji kuhusu madawa ya kulevya....!!





Psy & Tracy Morgan wakifanya yao jukwanii...!

Sky Blue akitumbuiza Jukwaa moja na Wiz Khalifa....!!


Justin Bieber akitumbuiza stejini...!!
Will.Iam akizungumza jukwanii...!!
Msanii mkongwe Prince akitumbuiza jukwanii...!!

Taylor Swift akitumbuiza jukwanii...!!
Taylor Swift akipokea Tuzo usiku wa Tuzo za Billboard...!!
Nicki Minaj akipokea Tuzo...!!
Chris Brown Akitumbuiza...!!

Bruno Mars kwenye Stage....!!
Tracy Morgan ndio aliehendesha Shuguli nzima ya Tuzo hizo..!!


Kelly nae alikuwepo kwenye usiku huo wa Tuzo za Billboard
Madonna & Wil-Iam wakiwa jukwani kuwakilisha Tuzo..!!
Serena Gomez akiwajibika stejini...!!

Taylor Swift akipokea Tuzo...!
Justin Bieber akizungumza baada ya kupokea Tuzo...!!

Pitbull akitumbuiza...!!
Jennifer Lopez akifanya yake stejini.....
Celline Dion akizungumza kwenye usiku wa Tuzo hizo za Billboard kama
mkongwe kwenye muziki wa Marekani...!!
David Guetta akitumbuiza jukwaani pembeni akiwa na
 Akon mkono wa kushoto na kulia kwake ni
Ne-Yo
David Guetta akizungumza baada ya kupokea Tuzo...
Lil wayne a.k.a Tunechi akiwa stejini....
Nicki Minaj & Lil wayne kwenye jukwaa wakitumbuiza kwa pamoja...!!
Ne-Yo akitumbuiza jukwani kwenye usiku wa
 Tuzo hizo za Billboard 2013