kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Saturday 20 April 2013

TAARIFA KUHUSU WALIOMALIZA DARASA LA SABA KUANZA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU




http://www.mwananchi.co.tz wameripoti leo kwamba Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU) imepanga kuanza kuwadahili wanafunzi wa kujiunga na masomo ya vyuo vikuu kwa kutumia uzoefu wao ambapo udahili huo utakaoanza mwaka huu wa masomo 2013/14, utakuwa ukiwahusisha wale ambao elimu yao imeishia darasa la saba na kuendelea, lakini walikosa sifa ya kuendelea na masomo kwa ngazi ya chuo kikuu.
Kupitia utaratibu huo mpya, mtahiniwa atajiunga na Chuo Kikuu kulingana na fani atakayoiomba na atatakiwa kufanya mitihani mitatu na kufaulu kwa wastani wa daraja B ambapo Mkurugenzi wa Ithibati na Ubora wa Elimu ya Juu kutoka TCU, Dk Savinus Maronga aliliambia Mwananchi kwamba baada ya kuona kuna watu wengi wanaopenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu lakini wameshindwa kutokana na kutokuwa na vigezo, TCU imeamua kuanzisha mitihani hiyo maalumu.
Alisema kuwa mfumo huo unaojulikana kama ‘Recognition of Prior Learning’ (RPL), utamwezesha mwombaji kudahiliwa vyuoni kupitia tume hiyo kama wanavyofanya watahiniwa wengine, Sifa zinazotakiwa ili kujiunga…. mwombaji anatakiwa kuwa na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea, sambamba na kuwa na elimu isiyopungua darasa la saba,  atakiwa kuwa na nia ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu na uzoefu wa kile ambacho anakusudia kukisoma, awe na uwezo wa kuandika na kusoma Lugha ya Kiingereza, ambayo ndiyo inayotumika kufundishia vyuoni”
Mkurugenzi amekaririwa akisema “Kuna watu wameishia darasa la saba, lakini wamefanya kazi katika eneo moja, mfano karani wa mahakama, mwandishi wa habari kwa muda mrefu, mfumo huu utawawezesha kuendelea na masomo bila tatizo, kutakuwa na mitihani ya masomo matatu ambayo mtahiniwa ili apate nafasi ya kuendelea na masomo ni lazima afaulu kwa wastani wa daraja B, daraja la kwanza linaloanza na alama A ni 75-100, daraja B+ ni 60-75, B ni 50-59, C ni 40-49, D ni 35-39 na daraja E ni 0-34.

BAADHI YA PICHA ZA MASTAA WA MZIKI WA KIUME NA WAPENZI WAO:Bruno Mars,Chris Brown,Usher,Jason Derulo,Drake.....

bruno


VIDEO MPYA YA MADEE-nani kamwaga pombe yang hii hapa

click here to watch

KWA WAPENZI WA MAGAZETI YA BURUDANI BONGO YAKO MTAANI SASA


.

10 BORA YA WASANII WA KIUME KWENYE MUZIKI DUNIANI-2013

10. Justin Bieber

Justin Bieber cute

9. David Guetta

David Guetta

8. Pitbull

Pitbull - best male singers 2013

7. Jason Derulo

Jason Derulo

6. Chris Brown

Chris Brown 2013

5. Taio Cruz

Taio Cruz - best singers 2013

4. Adam Levine

Adam Levine - best male singers 2013

3. Drake

Drake - 2013

2. Usher

Usher 2013

1. Bruno Mars

Bruno Mars hot
@pincode|simon bango

TOP TEN YA MATAJIRI WAKUBWA DUNIANI– 2013

10. Christy Walton $26.5 billion.


Christy Walton - Richest Woman 2013
Christy Walton and her family hauled in $26.5 billion. Christy and her family’s Walmart chain of stores are still a juggernaut in the retail business and even with the controversy involving labor relations the chain of stores and related business keeps on hauling in the money. Bernaud Arnault of LVMH is said to be in the tenth spot at $29 billion but that’s in question.


9. Mukesh Ambani $27 billion.

Mukesh Ambani Richest Indian 2013
May have beaten out Liliane Bettencourt for the ninth spot as Liliane has a reported $30 billion from L’Oreal. Ambani, a 55 year old from Aden, Yemen is of Indian heritage and graduated from the University of Bombay. He’s the CEO of Reliance Industries Limited (RIL) an Indian enery and materials company known as Reliance Group.


8. Eike Batista $30 billion.

Eike Batista 2013
The 56 year old German of Brazilian nationality attended RWTH Aachen University. He’s CEO of the EBX Group. He got rich from oil and gas. His wealth has been up and down but he’s still in the top ten.


7. Amancio Ortega $31 billion.

AMANCIO ORTEGA
Has competition from three others. Li Ka-Shing, David Koch and Charles Koch. Ortega is a 76 year old Spanish business man. He co-founded the Inditex group. His line of Zara clothing and related shops and accessories are his bread and butter.


6. Lakshmi Mittal $39.1 billion.

Lakshmi Mittal - Richest Indian 2013
The ever smiling Indian business man and chairman and CEO of the ArcelorMittal conglomerate he’s also the co-owner of Queens Park Rangers F.C. And Karrick Limited. The steel industry magnate resides in London, UK and is of Indian and British heritage.


5. Larry Ellison $39.5 billion.

larry_ellison richest people 2013
This New Yorker from the Lower East Side of Manhattan is the CEO of Oracle Corporation and its co-founder. He attended both the University of Illinois at Ubana Champaign and the University of Chicago. An avid professional tennis fan and player he’s also a yachtsman.


4. Bernard Arnault $41 billion.

Bernard Arnault 2013 richest people list
The French magnate is 64 years old and hails from Roubaix, France. He attended Ecole Polytechnique and is now chairman and CEO of LVMH and chairman of Christian Dior S.A..


3. Warren Buffett $50 billion.

warren_buffett 2013
Well known for his outspoken views on politics, finance, and social issues, the 82 year old Nebraskan is the chairman and CEO of Berkshire Hathaway. He attended the University of Nebraska-Lincoln Columbia University. He’s also renown for his philanthropic ventures.


2. Bill Gates $56 billion.

Bill Gates Richest People 2013
The 57 year old is the co founder and chairman of Microsoft as well as the co chair of the Bill and Melinda Gates Foundation that is world famous for their charitable endeavors. He’s also the CEO of Cascade Investment and chairman of Corbis. The Seattle, Washington born Gates attended Harvard University. He’s also a board member of Warren Buffett’s Berkshire Hathaway group.


1. Carlos Slim Helu $74 billion.

Carlos Slim Helu - Richest Person 2013
Comes in again year after year as the wealthiest human being on Earth. The 73 year old Mexican national of Lebanese descent was educated as a civil engineer. He attended the Universidad Nacional Autonoma de Mexico and is the chairman and CEO of Telmex, America Movil, Samsung Mexico, Grupo Carso.


Top 10 Richest Rappers in the World – 2013

  click here to read