kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Wednesday 22 May 2013

ATTENTION new Audio song MRAP FEAT DEDDY


produced by Pancho Latino na Hammy B kutoka B Hits, ni single mpya kutoka kwa Rapper mdogo Tanzania M Rap feat Deddy. isikilize hapo chini 

Tz All Female Stars - Kidole Kimoja(FESTULA Official Video)

Amour Genius --- Bongo Movie (Official Video)

OFFICIAL VIDEO(2013)Witnesz ft Ochu Sheggy_zaga zaga

OFFICIAL VIDEO Juma Nature FT Tundaman_Haipotei

WASANII WANAODAIWA KUJIUNGA NA CHADEMA 2013


mh.Joseph mbilinyi akiwa na msanii wa hip hop prof jay

K wa mapacha akiwa na Mbunge wa Ubungo Mh.john mnyika

PICHA YA SIKU

PICHA ZA WAREMBO WA REDD'S MISS KIGAMBONI 2013


Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Kigamboni wakiwa kwenye mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na kinyang'anyiro hicho kitakachofanyika Ijumaa Juni 7 mwaka huu kwenye ukumbi wa Navy Beach ulioko Kigamboni.

CPwaa ateuliwa kuwa msimamizi mkuu na MC wa michuano ya Foosball

Msanii maarufu wa kimataifa wa muziki wa kizazi kipya CPwaa ateuliwa na kampuni ya bia Heineken Tanzania kusimamia michuano ya mpira wa mezani (Foosball) pamoja na kutangaza na kuhamasisha mchezo huo wakati wa mashindano ambayo ni endelevu.Mpango huo ulikamilishwa kati ya kampuni ya Brainstormmusic & Media Co. Ltd na Heineken Tanzania Limited

Sharon Mariwa Meneja Muenezi Biashara Brainstormusic, Caroline Kakwezi, Meneja Masoko wa Heineken Tanzania, Uche Unigwe – Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Tanzania, kulia Cpwaa na Ronald Louis Meneja Opereshini wa Brainstormusic.

Sharon Mariwa Meneja Muenezi Biashara Brainstormusic, Caroline Kakwezi, Meneja Masoko wa Heineken Tanzania na Uche Unigwe – Mkurugenzi Mkuu na Cpwaa msanii maarufu wakishikana mikono na Mkurugenzi wa Heineken Tanzania baada ya kusaini mkataba wa kuteuliwa kuwa msimamizi na MC wa michuano ya mpira wa mezani (Foosball) kulia ni Ronald Louis Meneja Opereshini wa Brainstormusic.

KAGAME CUP: SIMBA KUNDI MOJA NA APR, YANGA DHIDI YA VITAL O NA EXPRESS FC



CECAFA 2013
GROUP A; Merriekh El Fasher (Sudan), Simba (TZ), Al Mann (Somalia) & APR (Rwanda).
GROUP B; Hilal Kadougli (Sudan), Ahli Shandi (Sudan), Al Nasr (S.Sudan), Tusker (Kenya) & Super Falcon (Zanzibar)
GROUP C; Yanga (Tanzania), Express FC (Uganda), Vitalo (Burundi) & AS Port (Djibouti).