kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Friday 4 October 2013

PIGA KURA KWA 'THE WOMAN OF THE YEAR'

ILI kutambua na kuthamini mchango wa wanawake katika maendeleo ya jamii yetu, Kampuni ya Global Publishers and General Enterprises Limited, inatoa tuzo kwa mwanamke ambaye katika maisha yake amefanya mambo mengi zaidi ambayo yameinufaisha jamii na kuboresha maisha ya watu. Chagua jina moja la mwanamke unayemwona anafaa kutwaa tuzo ya “The Woman Of The Year”. KUPIGA KURA, LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPA: GPL KISHA PIGA KURA YAKO

HAWA NDIO WASANII 10 WANAODAIWA KUA WAMEATHIRIKA KWA UGONJWA WA UKIMWI, SOMA HAPA




Ugonjwa wa Ukimwi sio ugonjwa wa kuubweteka na umechukua Maisha ya watu wengi wenye mafanikio..

Hawa ndio Marapa kumi wanaosadikika /kuhisiwa kua na ugonjwa hatari wa Ukimwi...

Kutoka Mtandao mmoja wa Africanewspost.com ya nchin KENYA imedai kua hawa ndio wasanii wanaodaiwa kuwa na ukimwi..

1. Gucci Mane


Gucci claims he smashed Tyga’s wife Blac Chyna. Tyga claps back and claims Gucci has HIV…which would mean….yea. Clearly Tyga didn’t think that tweet through and it soon vanished from his Twitter page.

2. Wiz Khalifa
Before he was happily-married to thicky thick snow bunny Amber Rose, he was reportedly smashing attention-thirsty groupies and spreading HIV. Yikes.

3. Cassidy
The once relevant Philly rapper was accused of infecting a groupie with HIV after numerous encounters in seedy NJ hotels. He laughed off these claims via Twitter.

4. Shawty Lo
The fertile rapper currently suffers from Diabetes but was embroiled in nasty AIDS rumors fueled by his, uh, reckless bed-hopping + condom-allergies.

5. Slim Thug
According to anonymous sources, Thugga was smashing filthy groupies across Texas and spreading the monster. He eventually denied these rumors years later.

6. Vybz Kartel
The dark-skinned Dancehall artist-turned-light-skinned Dancehall artist was caught up in HIV rumors based on groupie claims. He denied them.

7. Nicki Minaj
There’s nothing funny about an HIV internet hoax but it happened to Nicki via fake press release and escalated quickly. After a few hours, there were thousands of #PrayForNicki tweets from her obsessive Barbz.

8. Trick Daddy
Ricky Ross alleged that the beloved Miami rapper has AIDS, not Lupus on “Valley of Death” (“Deeper Than Rap”) and faced backlash for being messy. Trick fired back and denied the allegations but Rawse stood by his lyrics based on inside info he received.

9. Trina
HIV rumors have haunted the freak nasty rapstress her entire career and probably won’t die.

10. Mike Jones
Mike…Jones? WHO? Yea, that Mike Jones lost over 100 pounds after falling off and rumors swirled that he had “the package.”

Source: Africanewspost.com

WEMA ALIZWA NA MADAI YA KUUZA ‘UNGA’ CHINA!




HABARI ambazo zilienea siku chache zilizopita za kwamba msanii wa filamu ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Endless Fame, Wema Sepetu amekamatwa nchini China kwa soo la unga’ na kuripotiwa na gazeti moja la wiki (siyo la Global) zimeonesha kumuumiza sana mlimbwende huyo na kuamua kufunguka.

 Akichati na Ijumaa juzi kupitia mtandao wa Instagram Wema alisema: “Siwezi kusema niko na furaha kabisa. Nimesema niondoke zangu Bongo kimyakimya kuja huku kuhangaikia kazi zangu, nimeonekana nimekuja kuuza unga.
“Maskini ya Mungu naishi maisha yangu wala sina habari na mtu, sijawahi hata siku moja kufikiria kufanya biashara hiyo, leo nimelia na naumia sana.”
Madai ya Wema kunaswa China kwa soo la ‘poda’  yamekuja ikiwa ni siku chache tu tangu Video Queen, Rehema Fabian akiri kutupwa selo nchini humo kwa kesi ya madawa ya kulevya.

PICHA: BAADHI YA MATUKIO YALIYOJIRI SIKU YA KUZALIWA KWA THE CO WA WCB "DIAMOND PLATINUM"




















CHID BENZ, KASSIM MGANGA WATUKANANA HADHARANI




WASANII wanaotamba katika muziki wa Bongo Fleva, Kassim Mganga na Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ juzikati ilikuwa nusura wazichape baada ya kumwagiana matusi hadharani.
 
Rashid Makwilo ‘Chid Benz’.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni nje ya Ukumbi wa Bilicanas jijini Dar baada ya Chid Benz kudaiwa kumrushia tuhuma Kassim kuwa ni mchawi anayeroga wasanii wenzake.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, Kassim alichukizwa na kauli hiyo na kumvaa Chid Benz huku akitoa matusi mazito na kuwataka watu waliokuwa karibu kuwaachia ili wachapane.
 
Kassim Mganga.
“Chid atawapiga wengine siyo miye,” alisikika akisema Kassim huku akirusha mashambulizi kwa kudai kuwa Chid anatumia ‘unga’.
Hata hivyo, watu walioshuhudia tukio hilo waliwazuia wasipigane licha ya kwamba walishikana mashati huku kila mmoja akimrushia mwenzake maneno makali.