kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Wednesday 24 April 2013

TUNDA MAN MSANII WA BONGO FLAVOUR KATIKA MWONEKANO MPWA WA NYWELE:




Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection maarufu kama Tunda Man ameonekana kubadili muonekano wake wa zamani na sasa kuja na mpya ....
Muonekano huo mpya wa style ya nywele zake [pichani] umeonekana kuwashangaza watu kwa jinsi ulivyokuwa wa kipekee ...
Haijafahamika ameutoa wapi na ni kwa ajili gani anautumia, ila hivi ndivyo anavyoonekana sasa Tunda Man kichwani kwake .

@pincode