kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Wednesday 15 May 2013

OLDEST WOMAN OF THE WORLD! (BORN IN 1885 and still alive - 127 year old.)

OLDEST WOMAN OF THE WORLD! (BORN IN 1885 and still alive - 127 year old.)

Usiogope Family - Habari ya mjini{Official HD Video}

NEW AUDIO SONG MWANA FA FT KILIMANJARO BAND(NJENJE),MANDOJO & DOMOKAYA

ADAM MCHOMVU PRESENT BABA JONII MIXTAPE VOL 1

SIMBA VS YANGA JUMAMOSI: HIVI NDIO VIINGILIO NA MWAMUZI ATAKAYEAMUA MCHEZO HUO


Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Yanga itakayochezwa Jumamosi (Mei 18 mwaka huu) kitakuwa sh. 5,000. Kiingilio hicho kwa viti vya rangi ya kijani ambavyo ni 19,648.
Kwa upande wa viti vya rangi ya bluu kiingilio ni sh. 7,000, viti vya rangi ya chungwa itakuwa sh. 10,000, VIP C kiingilio ni sh. 15,000, VIP B itakuwa sh. 20,000 wakati VIP A yenye viti 748 tu tiketi moja itapatikana kwa sh. 30,000.  
Tiketi zitaanza kuuzwa siku moja kabla ya mchezo huo utakaoanza saa 10 kamili jioni.
Mwamuzi wa mechi hiyo atakuwa Martin Saanya kutoka Morogoro ambapo atasaidiwa na Samuel Mpenzu wa Arusha, na Jesse Erasmo kutoka Morogoro. Mwamuzi wa akiba ni Hashim Abdallah wa Dar es Salaam.
Kamishna wa mechi hiyo atakuwa Emmanuel Kavenga kutoka Mbeya wakati mtathmini wa waamuzi (referees assessor) ni Leslie Liunda.

MAISHA CLUB-USIKU WA KUMTOA MAMA YEYOO NDANI YA BOX JUMAPILI HII

(VIDEO)The Making of Mwana FA's 'The Finest' TV Ad

Hemedi PHD Performing live @club billicanas

Amani ft Radio & Weasel- Kiboko changu (Official Ogopa Video)

Y-TONY -MASEBENE NEW VIDEO 2013

AUDIO song BWANA MISOSI FT DULLAYO -TUNGI NA MISOSI

Diamond avaa gandwa za kijeshi za Congo (military police) kwenye show ya nchini humo .Angalia PICHA

UZINDUZI WA MUZIKI GANI-DAR LIVE 18.05.13

NEW*** VIUNO SHOW NDANI YA IRINGA

New audio-Afande Sele Feat. Belle 9 - Dini Tumeletewa