![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioQS6lo1_LUG0Uu5aSKqFDadv2ZjpUBp9UNC_ZT0m04Wk5wVgK_iAWeQDH60SQyQ14FM1V6-zIyl_7w3BQCAbWdQbTpcZDUPM9KfESInJr9vZ71d8-wElBh4RkoMa2VSRSaft30aKZJjea/s640/Ngwea-22.jpg)
Taarifa Nilizo Pata Kutoka South
Africa Kutoka Kwa Hussein
Original Ambaye Yupo Pretoria
Amesema Ngwear Amefariki Leo
Asubuhi. Alikuwa Ghetto Moja Na
Msanii M To The P.
Walivyokwenda Kuwagongea
Asubuhi Walikuta Ngwear
Amefariki Na M To The P
Amepoteza Fahamu Kabisa. Pia
Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa
Watu Wa Karibu Wa Ngwear
Huko South Africa. Ngwea akiwa na msanii M to the P jana south africa.mtu wa karibu anasema walitakiwa kurudi dar leo lakini waliwakuta wamezima kwenye room wote wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya na M to the P yupo hoi hospitali