kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Tuesday 21 May 2013

Picha Mbalimbali za Show ya "Usiku wa Kumtoa Mama Yeyoo Nje ya Box" Ndani ya Maisha Club

Weusi jana walipiga show iliyopewa jina la "Usiku wa kumtoa mama Yeyoo Nje Box" kwenye ukumbi wa New maisha  club jijini Dar es Salaam,G nako,Nikki wa pili,Joh Makini,Lord Eyez,Peter Msechu, Ben pol walikuwa ni miongoni mwa waliotoa burudani..