kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Monday 3 June 2013

DR.JOSEE CHAMELEON ATEMBELEA KABURI LA BLUCE LEE

Bluce lee
Kwa kizazi hiki ukiuliza ni nani mkali wa Karate wengi watasemaJackie chane or Jet lee na vijana wadogo wengi watasema ni
 mtoto wa will smith,Jaden smith aka Karate
 kid,lakin ukweli halisi mkali na shujaa wa karate ni
 marehem Bluce Lee aliyefariki  20/july/1973
Story hii haimhusu Bluce lee,inamhusu Mwanamziki tajili East Africa
Jose Chameleon ambaye
 amepata nafasi ya kutembelea na kuweka shada la maua kaburini mwa Bluce lee
Dr.Josee chameleon  akiweka shada la mauwa kaburini kwa bluce leepembeni ni kaburi la Brandon lee,mtoto wa bluce lee aliyefariki akiigiza movie
                                             Nafasi hiyo ameipata aliko nchini marekani
                                kwenye tour yake ya muziki nchini humo  iitwayo "Badirisha tour".