kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Tuesday 2 July 2013

PICHA:TUZO ZA BILLBOARD AWARDS (BBMA) 2013 ZILIVYOFAANA JIJINI LAS VEGAS...!!

Jana Usiku wa Tarehe 1/7/2013 ulikuwa usiku wa  Tuzo
za Billboard Music Award,Tuzo hizi
ni Maalumu kabisa kwa wanamuziki wanaofanya vizuri na
 nyimbo zao zinazosikilizwa zaidi
kwenye vituo mbalimbali vya redio,television na dunia kwa
kwa ujumla  na Online ni kimaanisha Youtube,Itune na n.k kwa Ujumla......


Usiku wa Jana ndio ilikuwa sherehe ya ugawaji wa tuzo hizo
 uliofanyika kwenye jiji la Las Vegas
uku ikiudhuriwa na Mastaa wengi wanaofanya mziki ndani
 ya marekani na nje ya marekani...
Usiku huo unaweza kujionea kwenye picha jinsi
ulivyofaana kabisa kila mtu akiwa kwenye nyuso za furaha
wakati wa kupokea tuzo na hata wakati wa utumbuizaji

Zifuatazo ni picha za ugawaji tuzo na matukio mbalimbali ya
 utumbuizaji kutoka kwa wasanii
walioalikwa kutumbuiza kwenye usiku huo wa Billboards Award
2013 (BBMA)......



Selena Gomez & Taylor Swift...!!
Akon akitumbuiza kwenye usiku wa Tuzo za Billboard...!!
Nicki Minaj & Lil wayne wakitumbuiza pamoja...!!

Madonna akizungumza kwenye steji kuhusu madawa ya kulevya....!!





Psy & Tracy Morgan wakifanya yao jukwanii...!

Sky Blue akitumbuiza Jukwaa moja na Wiz Khalifa....!!


Justin Bieber akitumbuiza stejini...!!
Will.Iam akizungumza jukwanii...!!
Msanii mkongwe Prince akitumbuiza jukwanii...!!

Taylor Swift akitumbuiza jukwanii...!!
Taylor Swift akipokea Tuzo usiku wa Tuzo za Billboard...!!
Nicki Minaj akipokea Tuzo...!!
Chris Brown Akitumbuiza...!!

Bruno Mars kwenye Stage....!!
Tracy Morgan ndio aliehendesha Shuguli nzima ya Tuzo hizo..!!


Kelly nae alikuwepo kwenye usiku huo wa Tuzo za Billboard
Madonna & Wil-Iam wakiwa jukwani kuwakilisha Tuzo..!!
Serena Gomez akiwajibika stejini...!!

Taylor Swift akipokea Tuzo...!
Justin Bieber akizungumza baada ya kupokea Tuzo...!!

Pitbull akitumbuiza...!!
Jennifer Lopez akifanya yake stejini.....
Celline Dion akizungumza kwenye usiku wa Tuzo hizo za Billboard kama
mkongwe kwenye muziki wa Marekani...!!
David Guetta akitumbuiza jukwaani pembeni akiwa na
 Akon mkono wa kushoto na kulia kwake ni
Ne-Yo
David Guetta akizungumza baada ya kupokea Tuzo...
Lil wayne a.k.a Tunechi akiwa stejini....
Nicki Minaj & Lil wayne kwenye jukwaa wakitumbuiza kwa pamoja...!!
Ne-Yo akitumbuiza jukwani kwenye usiku wa
 Tuzo hizo za Billboard 2013

No comments: