kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Friday 4 October 2013

PIGA KURA KWA 'THE WOMAN OF THE YEAR'

ILI kutambua na kuthamini mchango wa wanawake katika maendeleo ya jamii yetu, Kampuni ya Global Publishers and General Enterprises Limited, inatoa tuzo kwa mwanamke ambaye katika maisha yake amefanya mambo mengi zaidi ambayo yameinufaisha jamii na kuboresha maisha ya watu. Chagua jina moja la mwanamke unayemwona anafaa kutwaa tuzo ya “The Woman Of The Year”. KUPIGA KURA, LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPA: GPL KISHA PIGA KURA YAKO

No comments: