![article-2609490-1D411CD200000578-628_634x505](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/04/article-2609490-1D411CD200000578-628_634x505.jpg?resize=634%2C505)
David Moyes atalipwa fidia ya £5million baada ya kufukuzwa kazi na Manchester United – ikiwa ni kipengele cha makubaliano ya mkataba wake na klabu hiyo.
Katika mkataba wa Moyes na United kulikuwa na kipengele kinachoeleza ikiwa Manchester United ingefeli kufuzu kucheza Champions League msimu huu basi ikatokea United wakaamua kusitisha mkataba wake basi fidia isingezidi mshahara wake wa miezi 12 ambao ni £5million.
No comments:
Post a Comment