kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Monday 29 April 2013

Mbunge wa jimbo la Arusha Mhe Godbless Lema aachiwa kwa dhamana...


Mbunge wa jimbo la Arusha Mh. Godbless Lema amepandishwa kizimbani katika mahakama kuu kanda ya Arusha na kusomewa shitaka la uchochezi uliosababisha vurugu katika chuo cha uhasibu cha Arusha uliopelekea chuo hicho kufungwa kwa muda usiojulikana .

No comments: