kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Thursday 6 June 2013

BAADHI YA WASANII WALIOJITOKEZA KUUAGA KWA MARA YA MWISHO MWILI WA ALBERT MANGWAIR


kabla ya wasaa wa kuuaga mwili wa marehemu
Nikijadili jambo na Shilole 
Snura wa majanga akiwa na Doctor cheni
Mwili wa marehem Ngwair ukiwa ndani ya jeneza
tayari kwa taratibu za kuuaga
Kaka mkubwa,pro,Jay akiwa na Mez B,
Member wa kundi  la chamber squad
Madee(kati kati)
Doctor Cheni
ni vigumu kuamini lakini ilinibidi nikubaliane na
 ukweli kuwa kaka angu  kimziki Umeondoka
nenda kwa amani  ....
Comedian,Joti
Stamina
Dada Keisha
Izzo Bizness
Producer Maneck
Mwanamziki,Mad Ice
Nyandu Tozzy
Mama wa Monalisa akiwa uso wa huzuni na uchungu
Dada yangu Monalisa
Kalapina
Lord Eyes(mwenye kofia na tshirt yenye mistali)
Member wa kundi la WEUSI,Joh makini
Abdul Kiba
Kulwa Kikumba(Dude)
Ben pol
Akiri the Brain
Mb Doggy
Dark master aliekaa kati kati akiwa na uso uliotawaliwa na huzuni
 na kutoamini kama mtu wake wa karibu hatomuona tena
Ulinzi wa mbwa nao ulihusika.......


Kaka angu  Fid Q 
ikawa zamu ya Kaka yetu Prof,Jay........
Brnaba boy,Mkubwa Fella na Zolla D