kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Wednesday 2 October 2013

MWANAMKE AJIFUNGUA CHURA,YADAIWA MBEGU ZA UZAZI ZA CHURA ALIZIPATA KATIKA BWAWA ALILOKUWA AKIOGA

 
                 Mama  mmoja  nchini  Kenya  amejifungua  mtoto  wa  ajabu  ambaye  anafanana  na  viumbe  wawili  wa  dunia  hii... Sehemu  ya  juu ya  mtoto  huyo  inafana  na  chura  huku  sehemu  ya  chini  ikifanana  na  binadamu  wa  kawaida....

Mtoto  huyo  ambaye  alizaliwa  wikiendi iliyopita  anaonekana  kutokuwa  na  shingo  huku  macho  yake  yakiwa  kama  ya  chura.

Ripoti  ya  kitaalamu  toka  hospitali  ya  Gaurishnkar  ambako  mtoto  huyo  alizaliwa  imeeleza  kuwa  mama  huyo  aliingiliwa  na  mbegu  za  uzazi  wa  chura wakati  akioga  katika  bwawa  la  maji..

"Tulifanya  mazungungumzo  na  huyu  mama  na  akatueleza  kuwa  alikuwa  na  mazoea  ya  kuoga  katika  bwawa.Tunaamini  kwamba  mbegu  za  chura  zitakuwa  zilimwingia  wakati  akiwa  katika  siku  hatari"..Alisema  dakatari  mmoja

No comments: