kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Wednesday 2 October 2013

PICHA:NA HIKI NDICHO WCB PRESIDENT ALICHOKIFANYA MKOANI GEITA



Baadhi ya Crew yangu ya WCB wakiwa kwenye pantoni,Jijin mwanza
 wakielekea mkoani Geita,the president nilikuwa nimwshatangulia mapema

Nikiwasili eneo la tukio

Nikiongoza siraha zangu kuwapa haki yao wana Geita


Kama wewe siyo mtu wa mazoezi,dont try this at home.ha ah ha..Rama Tonsa
 akionyesha manjonjo yake



Kwa deck,RJ na Qboy msafi

Nani ananunaa hapa?


Thanx for that love watu wangu wa Geita

Mda wetu wa kulewa sasa.........mapenzi mabaya sana jamani..na mtu akishajuwa
anapendwa huwa anajishauwa sanaaaaaa!!

Huyu Dogo alichukua nafasi ya True boy,Geita kuna bwana am telling you.

No comments: