kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Friday 7 June 2013

MCHUMBA WA KIZUNGU WA MANGWEHA AWA KIVUTIA MSIBANI.

  Mchumba wa marehemu Albet Maangeha Bi, Michelle Looise Hancock raia wa Uingereza akiweka shada la maua kwenye kaburi la mpendwa mchumba wake. jana
Mzungu huyo akiwa dada zake Albet kutoka kuliani ni Anna Keneth Mangweha,Magreth Keneth Mangweha na Neema Keneth Mangweha.
Marafiki wa marehemu Albet Mangweha wakiwa kwenye picha ya pamoja na Shemeji yao