kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Thursday 3 October 2013

PICHA: TRENI YA MWAKYEMBE ILIVYOGONGWA NA LORI LA MIZIGO ENEO LA BUGURUNI BAKHERESA.



Lori lililogonga treni ya Mwakyembe lililokuwa likitoka Stesheni kuelekea ubungo kwenye majira ya Saa kumi na Mbili Jioni ya leo Likiwa limepinduka mara baada ya kuligonga treni hilo eneo la Buguruni Bakheresa





Wakazi wa jiji la Dar na Wapita njia wakishangaa lori lililogonga treni ya Mwakyembe iliyokuwa ikitoka Stesheni kuelekea Ubungo majira ya Saa Kumi jioni ya leo(jana)

No comments: