![16859d0ccbab11e29f3f22000a1f978e_7](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/06/16859d0ccbab11e29f3f22000a1f978e_7.jpg)
Inavyoonekana ni kuwa Cocaboy kama anavyojiita siku hizi, amenunuliwa gari jipya na wadhamini wake kampuni ya vichwaji ya Cocacola.
“Ya all ready know what it’s….. tukutane Fuel station!! #CocaCola Mumetishaaaaaa,” aliandika jana kwenye picha ya Instagram ya gari hilo likiwa na maganda yake.
“Chatin infront of my Small baby… on @channeloafrica interview at my clib,” aliongeza.
![5df7e19acbb011e293af22000a9e05e8_7](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/06/5df7e19acbb011e293af22000a9e05e8_7.jpg)
Siku nzima ya juzi, hitmaker huyo wa Kesho alikuwa busy kwenye interview na kituo cha runinga cha Channel O.
![af471706cb8211e2896422000a1fb003_7](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/06/af471706cb8211e2896422000a1fb003_7.jpg)