kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Tuesday 4 June 2013

WAOMBOLEZAJI WASIMAMISHA GARI LILILOBEBA MWILI WA MAREHEMU NGWAIR WAKITAKA WAUBEBE MPAKA MUHIMBILI, TAZAMA PICHA HAPA


Muda huu ni msafara wakumpeleka marehemu Albert Mangweha hospitali kuu ya Mwimbili kumpumzisha. Hapa barabarani ni wananchi wamezuia gari lililobeba
jeneza na wakitaka litolewe nje walibebe mpaka hospital ya Mwimbili.