kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Tuesday 4 June 2013

MAELFU YA WATANZANIA WALIVYOJITOKEZA KUPOKEA MWILI WA ALBERT MANGWEHA AIRPORT....!!


Msanii Mchizi Mox akiwa mbele kabisa wakati
mwili umewasili uwanja wa ndege wa J.K NYERERE
AIRPORT....
Baadhi ya wasanii na waandishi wa habari wakiteta
 jambo wakati wakisubiri mwili....

Msanii Madee toka Tip Top Connection akihojiwa na
kituo kimoja cha Television uwanjani hapo...
Lamar Niekamp Producer wa Fishcrab kushoto na Proffesor J
walikuwepo kuupokea mwili wa
Ndugu yetu Albert Mangweha.....!!

Hapa Mwili ndio ulikuwa unatoka ndani ya uwanja wa ndege.....
Mwili ukiwa umekabidhiwa kwa wahusika tayari
kwa kuelekea Hospitali ya Taifa
Muhimbili....
Umati wa watu ulivyofurika kupokea mwili wa
ndugu yetu Albert Mangweha....