kaa tayari kwa blog yangu mpya ya fashion JACK255.BLOGSPOT.COM....

SEARCH FOR ANYTHING IN THIS BLOG

Tuesday 4 June 2013

PUSH MOBILE YATOA MILIONI 10 KAMA MALIPO YA AWALI YA MAUZO YA NYIMBO ZA NGWEA, HILI NDO TAMKO WALILOTOA LEO

Baada ya watanzania wengi na wadau wa muziki kujiuliza kuhusu hatma ya malipo ya nyimbo za marehemu Albert Mangwea zilizokuwa zikitumika katika miiito ya simu, maswali hayo yamepatiwa majibu na kampuni ya Push inayohusika na zoezi zima la kuuza miito ya simu (CBRT).

Kampuni hiyo imetoa tamko rasmi na kuwahimiza watanzania na wapenzi wa Ngwea kuendelea kununua kwa wingi nyimbo zake kama miito ya simu kwa kuwa malipo yake yanaendelea kusimamiwa na Bongo Records ambao ndio wasambazaji wa kazi za Marehemu.